Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, August 10, 2015

Tyga ameamua kuanika na kuweka hadharani mapenzi yake kwa binti mwanamitindo toka familia ya Kadarshian Kylie Jenner kwa kishindo.
Katika kusherekea siku ya kuzaliwa na kutimiza miaka 18 mwanamitindo mpenzi wake Kylie Jenner, hi maker huyo wa “Rack City” amemzawadia mrembo huyop gari ya kifahari aina ya Mercedes G-Wagen nyekundu ambayo inatajwa kugharimu zaidi ya dola 115,000.Kylie alionekana akiendesha gari lake hilo alilozawadiwa na mpezi wake wakati wakielekea ilipoandaliwa sherehe malumu ya chakula cha usiku (dinner) ajili birthday yake ambapo alijumuika na familia huko Malibu siku ya ijumaa usiku.Rapa Tyga pamoja na kutoa bonge la zawadi hakuwapo ila Kylie alishekea na madada zake Kim, Khloe, Kourtney na Kendall na wazazi wao Kris and Caitlyn Jenner.
Tyga bado hajafunguka juu ya mahusiano yake na binti huyo ambaye alikuwa aanasemwa ni wa umri mdogo kwake ila ana mchoro wa jina la binti huyo katika mkono wake.


0 comments:

Post a Comment