Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, August 12, 2015


Jana jumatatu (August 10) The West Coast walikuwa ndani ya nyumba huko Los Angeles katika sehemu ya kwanza ya uzinduzi wa filamu ya historia ya kundi la hipphop la N.W.A ,Straight Outta Compton katika ukumbi wa Microsoft Theater Mastaa kibao kuanzia Kendrick Lamar,Snoop Dogg ,Common,The Game,Schoolboy Q,Abby Soul,Dwyane Wade na wife wake Gabrielle Union, Sevyn Streeter, Tyrese, Xzibit namuimbaji wa zamani wa One Direction,Zayn Malik majina makubwa katika sanaa ya hip-hop walihuduria sherehe hiyo ya uzinduzi wa hawali wa uzinduzi wa filamu hiyo iliyobeba maudhi ya historia ya kundi la N.W.A ambalo lilitambuliwa kama world’s most dangerous group.Dre alipita katika zuria jekundu akiwa na mkewe, Nicole Young na watoto wao watatu wakati rapa na mcheza filamu Ice Cube pia aliungana na mkewe, Kimberly Woodruff na mtoto wao O’Shea Jackson Jr ambaye ameigiza kma baba yake katika filamu hiyoa ya Straight Ooutta Compton.wegine walioigiza katika filamu hiyo ni Corey Hawkins ambaye aliigiza kama Dr. Dre na Jason Mitchell ambaye aliigiza kama (Eazy-E).
Straight Outta Compton itaanza kuonyeshwa rasmi katika majumba ya sinema ijumaa hii.

0 comments:

Post a Comment