Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, August 13, 2015

Star wa muziki wa R&B na muigizaji wa filamu,Tyrese amefanya kile tunachoweza kukiita kurudisha fadhila kwa jamii,Star huyo wa muziki wa R&B na filamu amemlipia ada ya masomo katika chuo kinachotambulika kwa jina la Morehouse kijana aliyefahamika kwa jina la Lolenzo Murphy aka Zo,The Motivator.kwa mujibu wa shuhuda,Tyrese amemlipia kijana huyo zaidi ya dolla 50,000 kama ada chuani hapo.
Katika kuthibitisha hayo “Zo,The Motivator”kupitia mitandao ya kijamii alituma picha akiwa na Tyrese na kumshukuru.




0 comments:

Post a Comment