Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, September 3, 2015

Image result for j.cole
Wakati wasanii wa bongo wakigoma kutoa albamu,albamu ya tatu ya rappa toka pande za North Carolina,J. Cole's, 2014 Forest Hills Drive, imefikia mauzo ya platinum.
J.Core aliachia madukani albamu hiyo mwezi December mwaka 2014 na ikashika namba moja katika chati za bora za Billboard Top 200 (kama hapa TZ Radio One Top Ten na Ladha 10 za bongo),albamu wiki hii imeshika namba 27 katika chati hizo.
Albamu nyingine za awali za J. Cole,  Cole World: The Sideline Story ya mwaka 2011and na Born Sinner ya mwaka 2013,zilifikia mauzo ya gold.
Kufikia mauzo ya Gold inabidi uwe umeuza nakala 500,000 na zaidi,Platnum ni mauzo ya nakala zaidi ya 1000,000.
Albamu nyingine ya rap/hiphop iliyofikia mauzo ya Platnum ni albamu ya rappa Drake, If Youre Reading This Its Too Late .

0 comments:

Post a Comment