Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, September 3, 2015

Eminem Lyrics Post Leads To Teenager's Arrest

Kijana wa miaka 15 anashikiliwa na polisi wa California baada ya kukamatwa siku ya jumatatu kwa makosa ya kuandika maneno yaliyochukuliwa kama vitisho vya kigaidi aliyoyatoa katika mistari ya wimbo wa Eminem '' I'm Back'' na kuiweka katika ukurasa wake wa Instagram.
Wimbo ''I'm Back'' Eminem unaelezea tukio la mwaka 1999 la mauaji kwa silaha yaliyofanywa na wanafunzi wawili katika shule ya Columbine High School huko Colorado na kupelekea watu 15 kupoteza maisha.
San Joaquin Memorial High School shule ambayo kijana huyo anasoma na shule yake ya zamani St. Anthony’s Catholic School,walisitisha shughuli za masomo juzi september 1 kufuatia vitisho vya mwanafunzi huyo.
Kijana huyo aliandika: 
"I take seven kids from Columbine, stand ’em all in a line, add an AK-47, a revolver, a nine, a MAC-11 and it oughtta solve the problem of mine" the post read. "And that’s a whole school of bullies shot up all at one time. I’m just like Shady and just as crazy as the world was over this whole Y2K thing."
Wana usalama wamesema walimkamata kijana huyo na kitu kizuri ni kwamba kijana huyo ametoa ushrikiano kwa polisi japo amekana kupost ujumbe huo katika ukurasa wa Instagram ujumbe ambao wanausalama wameupiga picha(screen capture).
Kijana huyo sasa yupo mikononi mwa polisi juvenile detention.
Tazama screenshot hiyo hapo chini:
Eminem Lyrics

0 comments:

Post a Comment