Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, September 16, 2015


Michael Jordan ametengeza mkwanja wa kutosha.
Akichukuliwa kama moja kati ya wachezaji wakubwa na waliong'ara zaidi katika ligi ya mpira wa kikapu marekani NBA,Michael Jordan pia ni moja kati ya wachezaji wa mpira huo waliojiingizia mkwanja zaidi.
Mtandao wa PBS umepost habari za kushtua kuhusu kiasi gani MJ alijiingizia akiwa anacheza mpira wa kikapu na imeshangaza kuona Jordan alijiingizia kiasi cha dolla millioni 94 katika kipindi cha miaka 15 lakini amejiingizia zaidi ya dolla millioni 100kwamaka jana tu kupitia mauzo ya nguo,raba na mavazi mbalimbali yenye nembo za Jordan .

0 comments:

Post a Comment