Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, September 16, 2015

Lil Wayne Sued For $2 million By Private Jet Company

Lil Wayne imetangazwa anadaiwa kiasi kisichopungua dolla millioni 2 kama malipo ya miaka mitatu  ambayo hajailipa kampuni ya wakodishaji wa ndege za kifahari za private jet.
Kampuni hiyo mwezi August mwaka 2014 walimfungulia mashataka Li Wayne kwamba wanamdai dolla millioni 1 na walishinda kesi.
Msemaji wa kampuni hiyi inayofamhamika kama Signature Group amesema pamoja na mahakama kusema wameshinda kesi Lil Wayne hakuwalipa hivyo gharama zimeongezeka kama dola 800,000  na hivyo kufikia dolla millioni 2.
Lil Wayne and Young Money pia wapo matatni katika madeni mbalimbali yakiwemo mamilioni ya mauzo ya tiketi za maonysho waliyoshindwa kuhudhuria.

0 comments:

Post a Comment