Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 28, 2015

 
Fetty Wap alipata ajali ya honda huko kwao Paterson, New Jersey,jumamosi asubuhi (Sept. 26).
“Trap Queen” hitmaker huyo alikuwa akiendesha honda kubwa aina ya Suzuki akapata ajali akiwa anajaribu kulipita gari bila kuangalia kuna gari ingine ikikatizandipo akafeli na kudondoka kwa kubilingika mara kadhaa na kuumia.
Watu wa huduma ya kwanz walifika eneo la tukio na kumpatia huduma ya kwanza na kumuwekea  hewa ya oxygen na baadaye kumpeleka hospital.
Hbari hiyo ilipamba vichwa vingi vya habari na mashabiki wengi walimtumia salamu za pole huku wakimuombea apone kupitia akaunti yake ya Twitter huku wengi wakiandika: #PrayForFetty.
Fetty amepata ajali ikiwa ni siku moja tu imepita tangu azindue albamu yake mpya .
 UPDATE: According to his DJ Louie Styles, Fetty is OK. He posted a photo of him on a stretcher with his leg bandaged and in a brace.

0 comments:

Post a Comment