Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, September 18, 2015

 T.I. and Iggy Azalea
Baada ya rappa T.I kufanya mahojiano katika radio na kuongelea kuhusu msanii wa lebo yake,Iggy Azalea,rappa huyo wa kike naye ameongea kitu kuhusiana na mahojiano hayo kati ya bossi wake, T.I. na kipindi cha Ebro in the Morning.
Katika mahojiano hayo ilionekana moja kati ya sababu za za kumtema katika lebo yake ni sambamba na mdomo mchafu kwa Legendary rappa anayeheshimika,Q-Tip.
Iggy Azzalea amejibu mpigo kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kwa kuandika mlolongo wa jumbe kuhusiana na kile kilichoongelewa na bosi wake na mtangazaji wa radio juu ya mustakali wa uwepo wake katika record lebo ya Grand Hustle.
Moja kati ya maneno aliyosema ya kutatanisha ni : I'm still signed to T.I and do busness with him anda the first ive herad of us having issue is via radio interview.
Tazama mlolongo wa jumbe hizo hapo chini:

0 comments:

Post a Comment