Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, September 17, 2015

T.I. Explains Parting Ways With Iggy Azalea
Rappa T.I.P. alifanyiwa mahojiano na kipindi cha Ebro in the Morning na waliongelea mada mbali mbali zikiwemo kubadili jina lake kutoka T.I mpaka T.I.P,muziki wake mpya mpaka mahusiano yake na rappa wa kike,Iggy Azalea.

Kuhusu Iggy, T.I. alianz auona dalili za kutokuwa sawa tangu kipindi alipokosolewa kuhusu miiko ya Hiohop na Legendaru rappa Q-Tip,kwani T.I anasema kama Iggy alilalama kwamba hakuwa upamndewake kumtetea kama msanii wake japo alijisahau kwamba alimkingia kifua pindi wanarushiana maneno na vijembe na Snoop Dogg. 
T.I ambaye sasa anafahamika kama T.I.P amesema alivyoona dalili za Iggy kuondoka na kutaka kufanya mambo yake hakuwa na jinsi ya kumzuia kwani anaamini amefanya smart movo na atakuwa sawa huko aendako kwani ana kipaji,Tip piaameongza kusema hakuwa na muda wa kupoteza zaidi na Iggy labda wayaweke sawa kwani  kwasasa yupo bize akipika albamu yake ya 10 studio.
The rapper also found his way to dodge the recent Drake and Meek Mill beef wanting nothing to do with that beef.

0 comments:

Post a Comment