Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 21, 2015

Treach Refutes Claim That Hit-Makers Can't Battle Rap

Star wa Naught By Nature,Trech anapingana na usemi usemao,ivumayo aidumu ama waliong'ara aali hawatong'aa tena.
Akiongea katika mahojiano na mwandishi wa mtandao wa AllHipHop aliwazungumzia mastaa waliong'ara  kama Keith Murray na Fredro Starr  kwamba watashiriki katika project ya  MC WAR’s “Generation X” eventTreach amesema kwama hit-makers hao wana nafasi sawa na wanauwezo wa kuwa na mafanaikio awa ama zaidi ya hawa walioko sasa.

“Usually they say battle emcees can’t make hit records. Now we’re gonna show how those emcees that made hit records can battle,” Treach explained. "My prediction is, who going to win this battle, whoever got the hottest lyrics."
Akimaanisha: wanasema ma Mc wa vilingeni ( battle emcees ) si rahisi kufanikiwa kufanya ngoma kali,sasa tutawaonyesha namna gani hawa ma Mc watakavyotoka na ngoma kali na katika mpambano huu mshindi ni Mc mkali wa mistari.
Mpmbano wa nne wa MC WAR event umepangwa kufanyika hukoBrooklyn’s Milk River tarehe 4 mwezi October.

0 comments:

Post a Comment