Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 21, 2015


Rick Ross mwenye umri wa miaka 39,amefanya kweli.Rappa huyo ambaye hana skendo za masuala ya mahusiano,amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake ambaye awali alikuwa m burudishaji wa club za usiku ( stripper ) Lira Mercer 22.
Aka Mercer,Lira Galore,aliweka katika mitandao habari na picha ya kuwa amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa sasa,Rick Ross akionyesha pete yake ya almasi ya thamani.

Mercer ameshatajwa kujihusisha kimapenzi na mstaa kibao wakiwamo Diddy, Drake,Justin Bieber na wengine lakini bosi huyo wa MMG hajaangalia hayo yote amefuata moyo wake unataka nini.
Na katik habari nyingi kuna yanayosemkana kwamba mama wa mremboLira amesema hajali minong'ono kuwa mchumba wa mwanawe ana wanawake wengine alimradi amemvisha pete ya almasi. 

0 comments:

Post a Comment