Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, October 1, 2015

Image result for akon & drake
Akon ambaye amewasaini mastaa kama  T-Pain na Lady Gaga na wakali wengine kibao katika lebo zake za Konvict Muzik na KonLive ameelezea sababu juu ya kwanini hakumsaini rappa mahiri Drake ambaye alipelekeawa na muimbaji mcanada  mwenzake, Kardinal Offishall .
Akihojiwa katika mahojiano na Montreality Akon alisema,moja kati ya sababu za kutomsaini Drake wakati huo kwanza alikuwa hana uwezo kama alionao sasa,alikuwa mtu wa aibu na hata aliposikiliza moja kati ya ngoma zake ikiwemo ‘Best I Ever Had,haikuwa na ubora huo ila ashangai kwani wakali wengi katika sanaa ya music wanaendelea kuiva na kuonekana wazuri zaidi wanavyokua wakubwa.
Akon amemaliza kwa kusema ,anadhani kujiamini kumekuwa na ametanuka kiujuzi ndiyomaana mnayaona haya ayafanyayo.


0 comments:

Post a Comment