Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, October 1, 2015

Image result for dmx hows it goin down
Ndiyo ametoka jela sasa nini kinafuata kwa baba huyu wa watoto zaidi ya wanne ?
DMX meamua kufunguka kuwaambia mashabiki zake kwamba ametoka jela kinachofuata ni kuparanganya akabilianer na majikumu,kodi,mahitaji ya nyumbani na watoto.
DMX amesema kazi yake kubwa ni mziki hivyo amepata muda mzuri hata huko jela kwaajili ya kuandaa muziki mzur ajili ya mashabiki zake.
,

0 comments:

Post a Comment