Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, October 2, 2015


 

Usiku wa juzi kuamkia jana yaa sept 30,ulikiwa usiku wa kihistoria kwa rappa  Na.

Nas amekuwa rappa wa kwanza katika historia kutunukiwa tuzo ya W.E.B.      ( William Edward Burghardt " was an American sociologist, historian, civil rights activist, Pan-Africanist, author and editor. ) katika sherehe za utoaji wa medali za heshima huko katika chuo kikuu kiubwa cha  Harvard University (September 30).
Nas ni rappa wa kwanza katika historia kutunukiwamedali hiyo ya heshima kwa mchango wake kwa jamii katika maswala ya utamaduni,sanaa na haki za binadamu sambamba na mchango katika vituo vya sanaa na tamaduni za kiafrica na jamii za Kiafrica na American.
Mwaka 2013 chuo cha Harvard walimtunuku Nas kwakuanzisha somo la Nasir Jones Hiphop Fellowship.
Rapa Nas ametunukiwa medali hiyo ya heshima kutokana na kutoa nyimbo nyingi zenye kufundisha jamii,mafunzo ya kuwajengea kujiamini watoto na vijana.

0 comments:

Post a Comment