Chris Brown na Nia Guzman ambaye ni mama wa mtoto Royalt wanapepea bendera nyeupe kuonesha kwamba wamemaliza salama tofauti zao kuhusu haki ya malezi ya binti yao.
Mtu mmoja wa karibu na Chris Brown na Nia Guzman amesema wawili hao waliamua kukaa chini na kuongelea namna ya kumaliza tofauti zao na kufikia muafaka wa kupeana haki sawa za kumlea mtoto wao huku wakikubaliana kuanz kumpeleka mtoto Royalty kustarehe,kuogelea,madarasa ya kucheza nk.
0 comments:
Post a Comment