DMX matatizoni tena,na maa hii ni kwa kosa la kutopeleka matumizi ya watoto.
Dark Man X alikamatwa na polisi huko Westchester County,kwa kosa la kutotimiza wajibu wa kupelekam matumizi ya watoto wanne kwa mke wake aliyemtalaka,Tashera Simmons .
Jarida la USA Today,walaka wa kukamatwa rapa DMX ulitolewa mwezi July wa kumtaka alipe 10,000 kwa mwezi.
X alitoka jela mwezi September baada ya kutumikia kifungo cha miezi miwili kwa kosa kama hilo ambapo alitakiwa kulipa $400,000.
Friday, October 30, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment