Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, October 13, 2015



Sauti Sol ni kundi ( band ) la muziki wa kizazi kipya lenye mafanikio makubwa nchini Kenya lililoanzishwa Nairobi mnamo mwaka 2005.
Kundi hilo la afro-pop linaundwa na wasanii wenye sauti za kuvutia Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano na Delvin Mudigi na baadaye akajiunga mpiga gitaa Polycarp Otieno.

Sauti Solwanafahamika kwa umahiri wao katika kutunga mashairi,kupaza sauti zao na hata kushambulia jukwaa.Sauti Sol wamejipatia umaarufu mkubwa kwa kuipua vibao mahiri kama Soma Kijana,Malikia,Mushivalla,Laazizi,One Voice,Range Rover,Disco Lover,Nairoby,Sura Yako,Nerea, na walioshirikishwa na A Y I dont wanna be alone.

Kuhusu malipo anayolipwa meneja wao bwana Marek Fuchs,akiongea na mtangazaji Jackson Bikokatika kipengele cha Business Daily,Marek Fuchsamesema kundi hilo linatoza kiasi shilingi millioni 1.5 mpaka millioni 2.0 kwa onyesho na kundi hilo hufanya kuanzia maonyesho 10 kwa mwezi siku za kawaida na mwezi wa 12 hufikisha hadi maonyesho 20 kwahiyo hujiingizoia hadi millioni 40 za Kenya.Ke shs 1= TZ 21
Ukiondoa gharama zote hapo kila mwanachama hupata mgao sawa.Hii nitofauti na awali kabla hajaja meneja walikuwa wakilipwa 150,000.

0 comments:

Post a Comment