"I guess I'm really a rap nigga now," Hicho ndicho alichoandika rappa Teriq Royal wa Compton baada ya kuposti kipande cha video kikimuonyesha akivuja damu kichwani na usoni baada ya kushambuliwa kichwani na bundiki aina ya AK-47.
Rappa Royal toka Compton alionekana akivuja damu nyingi huku akisema: "I just got shot. Me and my soldiers out here,"
Rappa Royal toka Compton pia alipost picha ya X-ray yake inayoonyesha matundu makubwa matatu ya risasi katika fuvu,kwa bahati nzuri risasi hazikufika katika ubongo.
0 comments:
Post a Comment