Je 2Pac alikuwa anajua kwamba anaelekea kufa? ndiyo swali kubwa wengi wanaomjua walijiuliza kwani alifanya mengi katika kipindi kifupi.
Ktaika kipindi cha miezi 11 yaa October 1995 alivyotolewa jeal na Suge
Knight na kusainiwa katika lebo yake ya Death Row Records mpaka mwezi September 1996 alipouliwa kwa kushambuliwa kwa risasi
’Pac alimaliza albamu zake 2 kwa kuwa na nyimbo zaidi ya 27 albamu ya All Eyez on Me,ambapo nyimbo zingine ziliondolewa,alifanya video zaidi ya 12 pia alishiriki katika filamu 3 za Bullet, Gridlock’d, na Gang Related ambazo zote zilitoka baada ya kifo chake.
0 comments:
Post a Comment