T.I. ameongelea mtazamo wake aktika siasa,T.I ameongelea hayo wakati akihojiwa na DJ
Whoo Kid katika radio kipindi cha Shade 45,rappa T.I amesema hatomsaport mgombea wa uraisi wa kike wa amrekani,bi Hillary Clinton.
T,II amesema moja kati ya sababu zitakazomfanya asimsapport mama Clinton ni,si muonekano wala urembo wake bali hawzi kuthubuthu kumsaport mwanamke kuongoza taifa kubwa kama marekani labda apatiwe cheo kingine katika ngazi yeyote.
T.I pia aliulizwa kama atampigia kura rappa mwenzake Kanye West kama atagombea kwama 2020,akajibu hapana,yeye ni mfanya biashara.
Kmama haitoshi T.I amesema pia hatomchagua mpinzani wa kiti hicho cha urasia wa Clinton,bw Donald Trump,kwa sababu amesema ni m baguzi.
Thursday, October 15, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment