Waswahili wanasema maji hufuata mkondo,hayo yamejidhihirisha baada ya habari kuhusu watoto wa star wa mpira wa kikapu Lebron James' kushiriki katika kampeni za mavazi mapya ya Diddy.
James alipaza habari hiyo na picha ya wanawe wakiwa wamepozi katika tangazo la mavazi mapya ya Diddy ya Sean John 'Dream Big' nakuandika :"Proud father moment right here. These young men look good."
Watoto hao wawili Lebron Jr. na Bryce wameshiriki kama wanamitindo wapya katika kampeni hiyo mpya ya mavazi ya Sean John.
0 comments:
Post a Comment