Jay Z na mkewe Beyonce ambao walikuwa wakitajwa kuwa ni ma homeless bada ya kutakiwa kuondoka katika jumba walilokuwa wakiishi awali,wamekodisha jumba la kifahari huko Los Angeles linalotajwa kuwagharimu dola za kimarekani millioni 45
wakilipa kiasi cha dolla 150,000 kwa mwezi.Jay Z na mkewe Beyonce wamekodisha jumba hilo la kifahari linalomilikiwa na bilionea la kingereza ambaye hutumia jumba hilo kama sehemu ya mapumziko yake ya muda mfupi kwa likizo.
Tazama sehemu ya picha za mjengo huo hapo chini:
Wednesday, October 7, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment