Rappa Wiz Khalifa alijikuta matatazoni baada kukamatwa akijisaidia hadharani haja ndogo (October 10).
Msemaji wa manispaa tukio lilipotokea ,Sonya Toler amesema rappa huyo alikutwa akijisaidia haja ndogo nyuma ya bar moja maarufu inayofahamika kwa jina la The Flats bar huko Pittsburgh mida ya saa 8 za usiku.
Kabla ya tukio hilo
Wiz Khalifa alitokea kutumbuiza katika tamasha la chuo kikuu cha University Pittsburgh's Midnight Madness basketball event Friday (October 9).
Kufuatia tukio hilo rappa Wiz Khalifa alipigwa faini na kuachiwa.
Kabla ya tukio hilo
Wiz Khalifa alitokea kutumbuiza katika tamasha la chuo kikuu cha University Pittsburgh's Midnight Madness basketball event Friday (October 9).
Kufuatia tukio hilo rappa Wiz Khalifa alipigwa faini na kuachiwa.
0 comments:
Post a Comment