Tuzo za mwaka 2015 zinazotolewa na jarida la muziki wa kiafrika zilifanyika juzi katika ukumbi wa the Academy of Black Letters huko Dallas, Texas.
Namba kubwa ya wasanii mahiri wa Africa na Nigerian akiwamo Davido, Yemi Alade, na Kcee walitumbuiza katika sherehe za utoajiwa tuzo hizo za AFRIMA 2015.
Tazama orodha ya washindi wa tuzo hizo hapo chini:
0 comments:
Post a Comment