Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, December 17, 2015



Recording Industry Association of America ( RIAA ) Leo wametangaza kwamba albamu ya King of music,king of Pop,Michael Jackson,Thriller ambayo ilizinduliwa mwaka 1982,imekuwa albamu ya kwanza kufikia mauzo ya platnum mara 30 huko United States peke yake huku mauzo ya dunia nzima ikidariwa kuwa ni zaidi ya platnum 100.
Kwa kuthibitisha hayo tazama alichokiandika CEO wa RIAA ,Cary Sherman hapo chini.

Marisa Mendez: Twitter || Instagram

“RIAA has awarded Gold & Platinum records on behalf of the music business for nearly 60 years, but this is the first time an artist has crossed the 30X multi-Platinum plateau. We are honored to celebrate the unique status of Thriller in Gold & Platinum history. What an exceptional achievement and testament to Thriller’s enduring spot in our hearts and musical history.”

0 comments:

Post a Comment