Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, December 15, 2015

 
Msanii wa Kenya anayeimba style ya bongo ,Kigoto anasema amewahi kuwasikilizisha wimbo huo wasanii kadhaa toka Tanzania akiwamo Shettah.
 regarding the Kerewa smash hit which featured Diamond Platninumz.
Kigotoambaye jina lake kamili ni Ali Mbonde alisaidiwa na director wa video kutoka Mombasa ,Hamza Omar ambaye alimtambulisha kwa Shetta ambaye alikwenda Mombasakutumbuiza na kufanya video na msanii Chapattizo.Kigoto anasema aliona ni nafasi nzuri kufanya collabo na Shetta ambapo walikubaliana kufanya wimbo pamoja japo Sheta alikuwa amechoka hakuweza kufanya lolote ikabidi yeye aandike verse zote na kumtaka Shetta kurekodi wimbo huo alioupa jina Data.
Shetta na Kigoto pia walirekodi wimbo na Mombasa best producer, TK2 ambapo Kigoto alifanya verse moja na chorus na Shettaakafanya verse mbili.
Msanii Kigoto anasema alishtushwa baada ya kuusikia wimbo wake alioupa jina Data umefanya upya na Shetta akiwa amemshirikisha Diamond na kuupa jina “Kerewa”.
Kwa mtazamo ni kama Shettah alimzunguka Kigoto.

0 comments:

Post a Comment