Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, December 15, 2015



Akiwa anaelekea kustaafu,star wa mpira wa kikapu marekani,Nike na Kobe Bryant wanakuja na toleo jipya la raba za Nike,Kobe 11 sneakers maalumu kwaajili ya msimu wake wa mwisho katika ligi ya mpira wa kikapu ya NBA.


Raba hizo kwa nyuma zitakuwa na na nembo ya Greek hero upande wakulia na upande wa kushoto utakuwa na vijimistari vikiwakilisha alama za mishono kama kumbukumbu ya Bryant'kuumia mwaka 2013.Viatu hivyo vitatolewa January 9
Tazama raba hizo hapo chini:
 

0 comments:

Post a Comment