Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, December 15, 2015

1214-floyd-mayweather-tmz-01

Floyd Mayweather anatuaonyeshanamna ya kutumia pesa kama unazo.
Star huyo wa mchezo wa masumbwi duniani ambaye ana rekodi ya kucheza michezo 49 kutopigwa hata mchezo mmoja huku akishinda michezo26 kwa KO,amenunua saa ya gharama kubwa iliyonakshiwa almasi katika shopping aliyoifanya hivi karibuni huko Dubai.
Tunatarifiwa kwamba Floyd alitumia zaidi ya dola millioni 1.5 katika shapping hiyo huko ambapo dola millioni 1.1 alitumia kununua saa.


1214-subasset-floyd-mayweather-tmz-01

0 comments:

Post a Comment