Onyesho la rapa T.I.jana may 25 huko New York liliingia dosari na kumalizika baada ya kutwaliwa na milio ya risasi iliyopelekea vifo na hata kujeruhi wengine.
Katika onyesho hilo lililofanyika katika ukumbi wa Irving Plaza na kuwashirikisha wasanii kama Anderson .Paak na Uncle Murda,inataarifiwa mtu mmoja aliuwawa na wengine wanne kujeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali.
Rappa Troy Ave pia ameripotiwa kuwapo katika tukio hilo na kujeruhiwa na risas.
0 comments:
Post a Comment