Muimbaji mahiri wa mitindo ya Afro pop na hit maker wa masongi makali kama Bend Down Pse,Walahi na pia alishiriki kunogesha wimbo Sweety sweety ya msanii wa Bongoflava Chegea,mefunguliwa mashtaka na record label inayomsimamia inayofahamika kwa jina la Ericmany Limited katika mahakama huko Lagos,Nigeria.
Taarifa zaidi zinasema mahakama imemtaka muimbaji mahiri wa mitindo ya Afro pop,bwana Douglas
Jack-Agu aka Runtown kutotumbiza katika tamasha wala onyesho lolote bila ruksa toka kwa uongozi wa lebo ya Ericmany Limited.
Runtown
ambaye yupo chini ya Ericmany Entertainment label ambayo inamiliki kazi zake zote zammuziki aliburuzwa mahakamni baada ya kuripotiwa kufanya maonyesho mbalimbali ya muziki bila kuutaarifu uongozi wakena kuzuia mkwanja wote wakati kampuni hiyo iliwekeza mamlilioni ya pesa.
0 comments:
Post a Comment