Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, June 13, 2016

 

 Mlinzi wa zamani wa Kanye West,Steve Stanulis ambaye inasemekana alifukuzwa kazi kwa kosa la kuongea na mke wa rapa na m bunifu huyo wa mitindo Kim Kardashian amepanga mpango maalumu wa kumuanika Mr West kwa namn yake.
Steve Stanulis yupo katika mchakato wa kuandaa kipindi cha televisheni kama tamthilia itakayoonyeshwa katika mtandao wa FunnyorDie.com kuelezea maisha yake aliyopitia kama mlinzi wa familia ya Yeezy.

0 comments:

Post a Comment