Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, June 13, 2016

T.I. Recruits 100 Strippers For The Opening Of His New Atlanta Strip Club
 T.I. na business partner wake Damon Cobbs wamefungua kilabu cha usiku kilichopewa jina la V Live strip club huko Atlanta na kuajiri wadada waburudishaji 100.

Wadada hao waburudishaji maalumu wa vilabu vya usiku walipatikana 100 waliokidhi viwango baada ya kufanyia mchujo kwa wadada 1,600 waliojitokeza baada ya kusikia tangazo la kazi katika kilabu hicho cha V Live huko Atlanta.
V Live ni moja kati ya vilabu maarufu huko Houston na hutembelewa na vijana wengi ukiachilia mbali watu maarufu kama Rihanna, Nelly Future.
V Live baada ya ufunguzi mpya kwasasa itakuwa katik ushindani na vilabu vikubwa huko Atlanta kama Magic City na Onyx.
Tip hupendelea sana kutembelea vilabu kama hivyo na mara ya mwisho alitembelea V Live huko  Dallas na kutuza kama dola 30,000.
Drake pia anatajwa kuwa ni mmoja wa wateja wakubwa wa V Live na ametaja baadhi ya vilabu hivyo katika nyimbo zake kama ("No Tellin'") na ("Believe Me").

0 comments:

Post a Comment