Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, June 16, 2016



Kwa wapenzi wa manukato RiRi amewaletea utuli mwingine.
This time,the Grammy-winning, chart-topping songstress amewaletea marashi ama perfume iliyopewa jina la Crush by Rihanna.
Hili ni toleo la pili katika matoleo yake ya RiRi collection kutoka ya mwaka jana RiRi.
Manukato hayo yamo katika kijichupa ambacho kimebuniwa na Rihanna kikiwa katika muonekano wa dhahabuna kunakshiwa na rangi ya pink.

Crush itapatikana madukani na ibei ya rejareja kuanzia mezi August.

uzwa dola 20 mpaka 50 kwa
 Tokeo la picha la rihanna new frgrance crush

0 comments:

Post a Comment