Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, March 25, 2014

03-24-14-rick-ross-watches-tmz
Rick Ross anaweza kuwa ndiye best boss ever na hii ndiyo sababu, baada ya album yake kufika namba 1 katika charts amesherekea mafanikio hayo kwa kuwazawadia kila mmoja kati ya walioshiriki katika kuifanikisha albamu ya Mastermind.
Chanzo kimoja karibu na rappa huyo kimesema Ross aliingia sonara ya jeweler Rafaello & Co in NYC wiki iliyopita na kutumia kama dolla 250,000 kununua saa 6 kwaajili ya kuwazawadia wasanii na producers wa project yake ya "Mastermind." DJ Khaled, Meek Mill na Wale ni badhi tu ya waliopatiwa zawadi hizo.

0 comments:

Post a Comment