Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, April 24, 2014

 042314_tv_sizzurp_launch_v2
Mitandao huko America imeandika Party's over for Justin Bieber, Soulja Boy na namba kubwa ya wana hip hop wanaopendelea dawa ya kifua aina ya sizzurp aka lean,aka codeine sababu dawa hizi zimeondolewa sokoni na watengenezaji wa bidhaa hizo. 
Kabla hawajasikitika wala kulaumu kuondolewa kwa dawa hizo,Justin Bieber, Soulja Boy na wana hip hop wanaopendelea dawa ya kifua aina ya sizzurp wajue sababu ni wao na matamizi yao ya tofauti na tiba ya kifua.
Wajuzi wa mambo wametuelezea kwamba lean (aka sizzurp aka Dirty Sprite aka Purple Drank)inatengenezwa kwa kuchanganya dawa hiyo ya kifua aina ya codeine cough syrupna soda ya Sprite ama soda nyingine yeyote yene gesi nyingi kulingana na matakwa ya ladha yako uipendayo.

0 comments:

Post a Comment