Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, May 3, 2014

http://1-ps.googleusercontent.com/x/www.thehollywoodgossip.com/images.thehollywoodgossip.com/iu/t_large_p/v1397582880/xkim-kardashian-wears-black.jpg.pagespeed.ic.56NB6-DOoX.jpg
Mtandao wa thehollywoodgossip.com unaripoti kwamba Kim Kardashian alimuomba aliyekuwa muimbaji wa kundi la Spice Girl,Victoria Beckham kum bunia gauni lake la harusi lakini VB aka Posh alimchomolea kwa kisingizio ana kazi nyingi.Chanzo kimoja cha karibu na m bunifu huyo VB kimesema,m bunifu huyo kusema ana kazi nyingi ni kisingizio tu,ukweli nikwamba VB anahofia kujihabribia kwa wateja wake ambao ni watu wa heshima na matajiri wakubwa ambao anadhani kwa yeye na bidhaa zake kuonyeshwa katika reality show itawfukuza.
Victoria Beckham in Glamour

0 comments:

Post a Comment