Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, February 5, 2015

Beyoncé, Blue Ivy, and Jay Z
Familia ya Carters wanapakia mabegi yao tayari kwaajili ya kuhamia Los Angeles.
Beyoncé na Jay Z wamehamua kuhama na kuhamisha makazi ya familia yao kutoka upande wa mashariki na kwenda upande wa magharibi wa Marekani (West Coast).Mtandao wa TMZ,umeandika,kwasasa familia hiyo inaishi katika hotel moja huko Beverly Hills wakiwa katika mchakato wa kutafuta nyumba watakayohamia kwani tayari wameshachagua maeneo ya kuishi huko westside L.A.,ambapo kuna maeneo kama Beverly Hills, Holmby Hills na Bel-Air.
Taarifa zaidi zinasema Jay Z na Beyonce tayari wameshaangilia baadhi ya nyumba lakini hawajaafikiana nazo.
Wakati wazazi wakitafuta sehemu ya kuhamia tayari wameshampatia mtoto wao Blue Iv shule ya program maalum ambayo atakuwa akilipiwa kiasi cha millioni 25 kwa mwaka.

0 comments:

Post a Comment