Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, July 14, 2015

Lil Wayne and Birdman
Ile beef kati ya Lil Wayne na ya Birdman inazidi kuchukua kasi,taarifa zinadai mastaa hao walijikuta wakiwa katika club moja ambapo rappa Lil Wayne alikuwa akifanya Club appearance jukwaani ndipo Birdman alipommwagia kinwaji kichwani.
Tukio hilo lilitokea katika club inayofahamika kama LIV nightclub huko Miami siku ya jumapili.
Shuhuda wa tukio hilo amesema alimuona Birdman amesimama pembeni ya DJ booth ya juu ya jukwaa iliyopo VIP ndipo alipoona kinywaji kimemwagwa kichwani mwa Lil Wayne.
Birdman alifanya tukio hilo japo kamera hazikufanikiwa kumnasa.
Ikumbukwe tu Weezy amemfungulia mashtaka Birdman akitaka alipwe zaidi ya dolla millioni 51 na anataka kuwa huru na kujitoa katika lebo ya Cash Money.

0 comments:

Post a Comment