Watu watatu wenye silaha wameripotiwa kuvamia jumba jipya la muimba mahiri wa muziki wa R&b,Chriss Brown.
Tukio hilo lilitokea katika makazi mapya ya Chris Brow huko Tarzana,San Fernando Valley vitongoji vya Los Angeles jana (July 15).
Watu hao watatu wenye silaha inasemekana walivamia jumba hilo lakini kwa bahati nzuri Chris Brown alikuwa zake nightclub.
Mtandaowa kidaku wa story za mastaa marekani,TMZ umeandika,shangazi wa Chris Brow alikuwapo nyumbani hapo wakati wa tukio zima na kayika kujiokoa alijifungia kwenye kabati la nguo.
Huu unakuwa ni uvamizi wa pili kwa mwaka huu kwa muimbaji huyo wa hit trackThis is the "Loyal" kwani miezi kadhaa iliyopita alivamiwa na mgeni wa kike aliyeingia nyumbani kwake na kupika,kula na kuketi akiwa mtupu.
Hii inamanisha hali ya ulinzi nyumbani kwa star huyo si ya kuridhisha.
0 comments:
Post a Comment