50 Cent amelaumu kile ambacho kinaendelea katika sehemu ya pili ya tathilia inayopendwa zadidi kwa sasa ya “Empire’s”,huku akisema iezidisaha kuhusisha mambo ya kishoga.
Kupitia akunti yake ya Instagram 50 Cent aliandika na kuufuta ujumbe usemao:Vipindi vya Televisheni ya Fox tu kwasababu wanwashirikisha mastaa wa kawaida na wanapromote mambo ya kishoga.Tamthilia ya Empire inatazamwa na watu zaidi ya millioni 3 hivyo si sawa kupromote maswala ya ushoga.
50 Cent pia amemtaka mmoja wa waigiza katik atamthilia hiyo, Taraji P. Henson‘ampigie amsaidie.
Ikumbukwe hapo awali 50 Cent amewahi kulaumu kwamba tamthilia ya Empire wamenakili idea yake ya kipindi cha drama cha mastaa cha “Power,”.
0 comments:
Post a Comment