Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, January 9, 2016

 
Ikiwa imepita miaka  miwili inakwenda mitatu tangu atoe albamu ya Yezus mwaka 2013 Knaye West amekuwa katika wakati mzuri,baada ya kuachia nyimbo mpya,Kupitia akaunti yake ya Twitter rapa na mwanamiitindo Kanye West ametangaza albamu yake ya saba  aliyoipa jina Swish itaingia mitaani February 11 16.”
 Kanye pia amesema anarudisha ile project yake ya  G.O.O.D. Friday music series ambapo kila ijumaa atakua akiachia wimbo na tayari ameshaanza na wimbo ambao amemshirikisha  Ty Dolla $ign- “Real Friends” na ingine ni kionjo cha wimbo “No More Parties in LA” featuring Kendrick Lamar.Na ikumbukwe katika kusherekea mwaka mpya  aliachia remix ya wimbo wa Drake naFuture“Jumpman” na kuuita “Facts.”

0 comments:

Post a Comment