Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, January 7, 2016

 
Mwendesha mashtaka huyo wa mahakama ya mwanzo ya L.A amesema wamefikia uamuzi wa kutupilia mbali kesi hizo kutokana na kesi hizo kukosa ushahidi wa kutosha,mazingira na kupitwa sana na wakati.
Aliyefungua kesi wa kwanza alidai kubakwa na Bill Cosby mnamo mwaka 1965 akiwa na umri wa miaka 17,wa pili alidai kubakwa na Cosby mwaka 2008 katika jumba la Palyboy baada ya kuwekewa dawa za kulevya na kupoteza fahamu.

0 comments:

Post a Comment