Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, January 7, 2016

 Master P: Syrup Is Killing This Whole Generation
Katiaka mahojiano na kipindi cha radio cha The Breakfast Club muanzilishi wa No Limit Records Master P ameongelea kusikitishwa kwake na kutokuwepo kwa wachapa kazi katika kizazi hiki huku akisisitiza wengi wa wasanii wamekuwa wakifikiria kuwa high looking good on Instagram na kutupilia mbali umakini katika ubora wa wakifanyacho.
Master P pia ameongelea kuchanganywa na familia yake ambayo wamekuwa watu wa kuangalia maslahi tu na kudai urithi na mgao..
Master P amesema watu wengi wanaangshwa na ndugu katika mipango ama biashara zao na amesema hata mara nyingine akikutana na stara wa masumbwi Floyd Mayweather atamshauri cut family members off.’”
Master P amesema kwasasa amewekeza akili na nguvu katika utengenezaji wa  biopic, ambayo amipa jina Ice Cream Man: King Of The South.ambapo amesema itakuwa ya ukweli wa maisha yake na ataawaanika hata waliowahi kumsaliti hapo awali.

0 comments:

Post a Comment