Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 6, 2016


Namba kubwa ya mastaa kuanzia comedian Eddie Griffin na hata rapa the Game wametoa mawazo yao juu ya kinachoendelea kuhusu kesi zinazo mkabili mchekeshaji mahiri na liyependa zaidi,Bill Cosby. 
Bill Cosb anakabiliwa na kesi za ubakaji alizofunguliwa na waliokuwa washiriki wenzake katika vipindi vya televisheni.
Upande wa rap The Game anaona kama sheria imeelekeza zaidi nguvu katika kesi za ubakaji ambazo haizna ushahidi wa kutosha na kupuuzia kesi za mauaji yaliyofanywa na polisi na kama ya kumuua kijana Tamir Rice ushahidi upo wazi.

0 comments:

Post a Comment