Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 6, 2016

 Naughty By Nature’s Treach Disses Kanye West & Kim Kardashian
Kufuatia rapa na mwanamitindo kuongea kwamba anadhani hayati Tupac amekuwa akipewa sifa na umaarufu asiostahili huku akisisitiza kwamba umaarufu wa Tupac uliongezeka tu baada ya kupigwa risasi nyingi na kuweza kuhimili kuishi na kuonekana nembo ya mtaa zaidi kuhusu maisha yake na jela.

Rappa toka Naughty By Nature Treach amemjia juu na kumpaka rapa na mwanamitindo Kanye West na mkewe Kim Kardashian katika mtiririko wa tweets jana (January 4). 
Sambamba na tweets hizo rapa huyo toka pande za New Jersey,Treach alipost picha inayomunyesha Kanye West upande wa kushoto ikiwa na caption “I THINK PAC IS OVERRATED” na upande wa kulia unamuonyesha Tupac ikiwa na caption “NO YOUR WIFE IS” .
 Embedded image permalink

0 comments:

Post a Comment